Kocha wa Simba SC asaini mkataba mpya


Kocha wa Simba SC, Patrick Aussems amesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo.

Uamuzi wa kumuongezea mkataba umeafikiwa na Bodi ya Wakurugenzi baada ya Kocha Aussems kufikia malengo aliyowekewa katika mkataba unaomalizika hivi karibuni ya kuhakikisha timu inatetea ubingwa wa Ligi Kuu na inafika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Comments

Popular posts from this blog

Telegram Channel, Bots or public groups Verification Guidelines

Telegram Limits - InFoTel

Today's update brings you multiple pinned messages, proximity alerts for Live Locations, sending music as Playlists, and more